Friday, January 27, 2012

MADHARA YA UTOAJI MIMBA


Tumegundua kuwa siku zinavyokwenda wakina mama,dada na wanafunzi wanaongezeka kwa kasi katika utoaji mimba kwa visingizio mbalimbali.



SABABU ZA UTOAJI MIMBA.
Kutokua tayari kulea mimba hiyo kwa kuwa hana uwezo au yuko masomoni.
Kutokua tayari kulea mimba hiyo kwa kuwa aliempa mimba ameikataa.
Kutokua tayari kulea mimba hiyo kwa kuwaogopa wazazi au kuchekwa na jamii n.k.
MADHARA BAADA YA KUTOA MIMBA.
Asilimia kubwa ya kuwa mgumba.
Kama mwanamke hajasafishwa vizuri,anaweza kupata infections kwenye kizazi na hatimaye kizazi kutolewa.
Mwanamke anaweza kupoteza damu nyingi hatimaye Kifo.
Vifaa vinavyotumika katika process ya utoaji mimba,visipokua safi anaweza kupata infections kwenye kizazi.


No comments:

Post a Comment